Mchipuko

NDOTO ZA NYOKA NA MAANA ZAKE

NDOTO ZA NYOKA NA MAANA ZAKE

unapomuota nyoka amekufa,ni ishara Umeepushwa na uadui na shari yake

unapomuota nyoka mdogo ni biashara ya kupata mtoto

unapoota umemuuwa nyoka juu ya kitanda chako,utafiliwa na mkeo

ukiota umemuuwa nyoka kwa fimbo ni ishara ya kuwa utaowa

NDOTO ZA NYOKA Zaidi

ukiota umemuuwa nyoka kwa jiwe ni dalili ya kupona sihri uliyonayo na kutoka kwa jini mwilini mwako

ukiota umemuuwa nyoka kwa upanga na kumgawa vipande v3 utamtaliki mkeo talaka 3

ukiota joka kubwa linajizongazonga mwilini mwako ni dalili ya jini aloingia mwilini anatafuta sehem ya kujificha ndani ako

ukiota nyoka anaungua kwa moto ni dalili ya kufanya kazi kwa kile kisomo cha Ruqya alicho fanyiwa mgonjwa

ukiota unafukuzwa na nyoka ni dalili ya kuwa jini aliekuingia hajakaa vizuri mwilini mwako,au ni jini afriti jini mbaya anakuandama au adui yako yupo mbion kukudhuru

-ukiota una nyoka shingoni mwako ukamkata kata utatoa talaka kwa mkeo

. Kuota nyoka mara kwa mara ni dalili ya wewe una Jini mahaba ana kuandama mwilini mwako ukiwa ni Mwanamme utakuwa una jini Mwanamke anaye kuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia kazi na maisha yako yanakuwa ni magumu kila unacho kifanya hakiwi. Ukiwa ni Mwanamke unaota kila mara nyoka ni dalili ya wewe kuwa una jini Mwanamme Jini Mahaba anaye kutia mikosi na kukuharibia Wanaume na kizazi chako na maisha yako fanya umtoe haraka.

Ukiota wanyama weusi pia ni ishara ya uadui
Kuota ndoto za vifo au watu waliokufa kuota unafanya mapenzi kuota upo shule kuota unapaa tayari

Imeandaliwa na Dr Suleh Mpenz…..

Soma hii pia ( jinsi ya kuoga janaba)

Loading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *