Mchipuko

Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

1. Msanii bora wa kiume: Harmonize

2. Msanii bora wa kike: Zuchu

3. Msanii bora wa Hip-hop: Bilnass

4. Msanii bora wa Hip-hop: Rosa Ree

5. Collabo bora ya mwaka: Nitongoze by Rayvanny ft Diamond

6. Wimbo bora Bongofleva: Kwikwi by Zuchu

7. Msanii bora chipukizi: Kontawa

8. Wimbo bora wa mwaka : Nakupenda by Jay Melody

9. Video bora ya mwaka: Mwambieni by Zuchu

10. Mwanamuziki bora wa kike chaguo la watu kidigitali: Zuchu

11. Msanii bora wa kiume Bongofleva: Mbosso

12. Msanii bora wa kiume chaguo la Watu : Diamond Platnumz

13. Msanii bora wa kiume wa Singeli : Dulla Makabila

14. Msanii bora wa kike wa Singeli: Mimah

15. Mtumbuiziaji bora wa kiume: Sholo Mwamba

16. Mtumbuizaji bora wa kike: Phina

17. Mwimbaji bora wa kiume Taarab: Hassan Doko

18. Mnyumbulikaji (Dance) bora wa kike: Angel Nyigu

19. Msanii bora wa kiume Raggae Dancehall: Badest

20. Msanii bora wa kike Reggae Dancehall: Dipper Rato

21. Mwanamuziki bora wa kiume vionjo vya asili: Awilo Kidume Cha Mbeya

22. Mwanamuziki bora wa kike vionjo vya asili: Elizabeth Malinganya

23. DJ bora wa kike: DJ Mamie

24. Producer bora : S2Kizzy

25. Tuzo ya heshima: Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *