Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023
Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023
1. Msanii bora wa kiume: Harmonize
2. Msanii bora wa kike: Zuchu
3. Msanii bora wa Hip-hop: Bilnass
4. Msanii bora wa Hip-hop: Rosa Ree
5. Collabo bora ya mwaka: Nitongoze by Rayvanny ft Diamond
6. Wimbo bora Bongofleva: Kwikwi by Zuchu
7. Msanii bora chipukizi: Kontawa
8. Wimbo bora wa mwaka : Nakupenda by Jay Melody
9. Video bora ya mwaka: Mwambieni by Zuchu
10. Mwanamuziki bora wa kike chaguo la watu kidigitali: Zuchu
11. Msanii bora wa kiume Bongofleva: Mbosso
12. Msanii bora wa kiume chaguo la Watu : Diamond Platnumz
13. Msanii bora wa kiume wa Singeli : Dulla Makabila
14. Msanii bora wa kike wa Singeli: Mimah
15. Mtumbuiziaji bora wa kiume: Sholo Mwamba
16. Mtumbuizaji bora wa kike: Phina
17. Mwimbaji bora wa kiume Taarab: Hassan Doko
18. Mnyumbulikaji (Dance) bora wa kike: Angel Nyigu
19. Msanii bora wa kiume Raggae Dancehall: Badest
20. Msanii bora wa kike Reggae Dancehall: Dipper Rato
21. Mwanamuziki bora wa kiume vionjo vya asili: Awilo Kidume Cha Mbeya
22. Mwanamuziki bora wa kike vionjo vya asili: Elizabeth Malinganya
23. DJ bora wa kike: DJ Mamie
24. Producer bora : S2Kizzy
25. Tuzo ya heshima: Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.