Mchipuko

Kanisa tajiri duniani

Kanisa tajiri duniani zipo nyingi ikizingatiwa kuwa waumini hujitokeza zaidi kwa kutoa sadaka. Kuna Kanisa ukienda Ni lazima utoe kiwango flani Cha pesa.

PCEA church

Katoliki ni mojawapo ya Kanisa tajiri duniani Ila orodha inaonekana kuongezeka kwani Kuna Kanisa zaidi zinazoenekana kuwa na hela nyingi

Kumbuka pia Kuna ile asilimia kumi yenye waumini huhitajika kutoa kila mwaka ama hata kila mwezi. Ifuatayo Ni orodha ya Kanisa tajiri duniani

Kanisa tajiri duniani

RICHEST CHURCHES IN THE WORLD:

1- Church of Jesus Christ of Latter-Day Saints- $67.0 billon

2- Catholic Church – $30 billion +

3- Catholic Church Australia- $20.9 billion

4- Catholic Church Germany- $25.0 billion

5-Church of England $7.8 billion

6-Opus Dei (part of the Catholic Church) Italy- $2.8 billon

7-Church of Scientology- $2.0 billon

Soma pia ( ndoto za nyoka na maana yake)

Loading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *