MchipukoSanaa

Leon Ongaya (Kiongozi) ashinda tuzo za Kalasha awards

Baada ya mashindano yaliyopamba moto, hatimaye Leon Ongaya (Kiongozi) ashinda tuzo za Kalasha awards. Ilikuwa furaha isiyo na kifani katika hoteli ya pride inn baada ya Mbura ( leon Ongaya kutangazwa mshindi.

nimimi Pete maisha magic na Mbura Pete maisha magic
Nimimi na kiongozi Mbura

Katika kitengo Cha Best lead actor, alikuwemo pia Luwi anayeigiza katika tamthilia ya Maria iliyoko citizen Tv. Maria citizen Tv pia walinyakua tuzo zikiwemo kipindi bora na pia yassim said kwa jina maaruufu Maria ambaye ni muigizaji mkuu akijipatia tuzo ya the best lead actress.

yasmin said na brian maria citizen Tv
Luwi na Maria

Maana wetu Tunawapongeza washindi wote kwa kazi nzuri waliyoifanya na tunaamini wataendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Zidi kufuatilia habari zetu kama zinavyochipuka.

Soma hii pia ( waigizaji wa tamthilia ya Maria citizen Tv )

Loading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *