Sanaa

Maana ya tehanani na mengi kuhusu tamthilia hii

Ni wengi sana wamekuwa wakiifuatilia tamthilia hii ila sio wengi wanaojua Maana ya tehanani. Tuliweza kuwasiliana na mwandishi mkuu anyejulikana kama Fakii Kasoloi na kusema kweli ametufundisha mengi tuliyokuwa hatuyajui.

Hii ni tamthilia inayopeperushwa katika kituo cha Runinga Cha Maisha Magic East na Maisha Magic Plus.

Kipindi hiki kilichotayarishwa na Kampuni ya Rhambu Media kinahusu Hadithi ya Ndugu wawili Safari na Fataki ambao wanakuwa maadui baada ya baba Hauna yao kumrithisha Safari mali na kumwacha Fataki ambaye ni mwana wa kambo.

Vita hivi vinamwangukia Haluwa mke wa Safari na Lulu mwanaye wakati Safari anapofungwa jela. Fataki atafanya lolote kupata urithi wake kutoka kwa Haluwa. Inabidi Haluwa ajikaze kiume kulinda jamii yake na Mali ya mumewe dhidi ya Fataki

Maana ya tehanani

TEHANANI maana yake ni TENSION..Hali ya kuwa katika mazingira ya chuki, uhusama na hasira baina watu. Tamthilia hii ni tungo la Fakii Kasoloi Maati na kuandikwa na Fakii Kasoloi na Fatma Kassim.

Tehanani theme song ( Download here)

Mwandishi Fakii Kasoloi.

Maana ya tehanani / fakii kasoloi
Fakii Kasoloi

Mwandishi aliyebobea katika tasnia ya uigizaji na uandishi. Ana miaka zaidi ya 30 ya uigizaji na uandishi hapa Pwani. Katika tamthilia tajika alizoandika ni Kama ALMASI, SUMU, UTANDU, KASHFA, PETE na KAIDI..Katika uigizaji wa hivi karibuni aliigiza Kama Mzee Rajab katika kipindi Cha Nyanya Rukia

Fatma Kassim Mwandishi Tehanani
Fatma Kassim | Mwandishi mwenza Tehanani

 

Mathew Kathengi | Tehanani
Mathew Kathengi | Safari

 

Maana ya tehanani | John Mbura
John Mbura | Fataki

 

Mwanahamisi Ali | Haluwa | Tehanani
Mwanahamisi Ali | Haluwa | Tehanani

 

 

Bwire Ndubi | Regina
Bwire Ndubi | Regina

 

Maana ya tehanani | Joseph Mutemi | Inspector Mwero
Joseph Mutemi | Inspector Mwero

 

Maana ya tehanani | Elizabeth bana | Sada
Elizabeth bana | Sada

 

Jasmine John | Lulu Safari Hauna
Jasmine John | Lulu Safari Hauna

Soma hii pia ( Waigizaji wa Maria, Majina na miaka yao kamili)

 

 

Loading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *