Mziki

Susumila ft. Nadia mukami | Chomeka | Video

Susumila ft. Nadia mukami | Chomeka Ni kazi iliyotayarishwa na producer Teddy B huku video ikiongozwa na Desks Torres. Watayarishaji hawa wawili Ni wakaazi wa Nairobi na kusema kweli kazi wameifanya vyema.

Nadia mukami
Nadia mukami

Susumila Ni msanii anayetokea pwani ya Kenya naye Nadia mukami anatokea Nairobi Kenya jiji kuu. Wawili hawa wanajulikana Kenya nzima na afrika mashariki kwa jumla. Susumila ana colabo na wasanii wa Tanzania Kama vile Ommy dimples, Lavalava na Mbosso. Msanii huyu hudhaminiwa na gavana wa Mombasa bwana Ali Hassan Joho.

Susumila
Susumila

Nadia mukami naye pia amefanya colabo na wasanii wengi wa Kenya na pia amewahi kufanya colabo na Mario ambaye ni msanii kutokea nchi ya Tanzania.

Susumila ft. Nadia mukami | Chomeka | Video imepokelewa vizuri katika mitandao na vyombo vya habari na kwa Sasa Ina trend pale YouTube.

Kwa kutazama hii kazi mpya ya susumila na Nadia mukami, bonyeza link ifuatayo

Tazama hii pia (nyimbo mpya ya diamond platnumz)

Loading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *